Tibazetu Afrika

Blog hii inahusu tiba za asili juu ya magonjwa mbalimbali ya kimwili na kiroho.Habari,burudani na mambo yote yanayoizunguka jamii.

Contact us

+255 657 739713
Whatsapp/call and sms

Email
Tibazetutz@gmail.com

Watembeleaji

Search

Ijumaa, 31 Agosti 2018

kutoa mikosi,kijicho,husda,kuvunja uchawi mwilini na kukurudisha kwenye mvuto wako wa asili

🌳
     ðŸ’«MAHITAJI💫

âš¡MAJI AINA SABAâš¡
1.Bahari, 2.Chemchem, 3.Mvua, 4.Zamzam, 5.Umande, 6.Barafu, 7.Maji ya marashi

âš¡DAWA ZA KUBATILISHA SIHRI AINA   SABAâš¡
1.Mwavi, 2.Mpaja, 3.Kikali, 4.Mnengonengo, 5.Mbuyu, 6.Mkuyu, 7.Mkola

âš¡DAWA ZA BARAKA (NSAMBA) AINA SABAâš¡
1.Mkanya, 2.Msulula, 3.Kasela, 4.Mwezya, 5.Mvuto, 6.Kalilila, 7.Italigula

PIKA DAWA HIZO KISHA CHUJA NA UCHANGANYE NA ZAFARANI.

    âš¡MATUMIZIâš¡
DAWA ITATUMIKA KUOGEA KIJIKO KIDOGO KUTWA MARA MBILI SIKU SABAA.

Usisahau kuleta mrejesho.