Tibazetu Afrika

Blog hii inahusu tiba za asili juu ya magonjwa mbalimbali ya kimwili na kiroho.Habari,burudani na mambo yote yanayoizunguka jamii.

Contact us

+255 657 739713
Whatsapp/call and sms

Email
Tibazetutz@gmail.com

Watembeleaji

Search

Jumatano, 16 Mei 2018

🌹 *Dawa ya mba kwenye nywele*🌹


Limao ni tiba nzur san ya mba kwenye nywele πŸ‹πŸ‹πŸ‹πŸ‹πŸ‹πŸ‹

πŸ‹πŸ‹ *Namna ya kufanya/kutumia*πŸ‹πŸ‹

πŸ‹πŸ‹chukua vijiko viwili vya limao na jisugulie kichwani kisha kaa nalo kwa dakika 10 mpaka 15πŸ‹πŸ‹

πŸ‹πŸ‹kisha osha na baada ya hapo chukua maji kwenye kikombe kisha tia kijiko kimoja cha limao kwenye hayo maji halafu jimwagie kichwani na kaa nayo usioshe, iache ikaukie humoπŸ‹πŸ‹πŸ‹

πŸ‹πŸ‹πŸ‹ *faida za limao kwenye nywele*πŸ‹πŸ‹πŸ‹

πŸ‹πŸ‹limao lina acidity  na inasaidia kuondosha mba kwenye nywele na kuiacha na mvuto na afya na ukuaji bora wa nywele zakoπŸ‹πŸ‹πŸ‹

πŸ‘‰πŸ»πŸŒΏπŸŒΏπŸŒΏ *NB: KUTIBU MBA KABLA YA MATUMIZI YOYOTE YA MAFUTA ITAFANYA NYWELE YAKO KUA NADHIFU NA BORA ZAIDI UKIANZA KUTUMIA MAFUTA, NA MAFUTA MAZURI NI MAFUTA YA ASILI* 🌿🌿🌿

πŸ‘‰πŸ»πŸŒΏπŸŒΏπŸŒΏ *HAKIKISHA NYWELE YAKO NI SAFI NA HAINA MAFUTA MENGI WAKATI WA KUFANYA ZOEZI HILI*🌿🌿🌿

```tibu mba kwanza kuifurahia nywele yako```πŸ’ͺπŸ’ͺ

 πŸ’πŸŒΉtiba na ushauri  πŸŒΉπŸ’