Tibazetu Afrika

Blog hii inahusu tiba za asili juu ya magonjwa mbalimbali ya kimwili na kiroho.Habari,burudani na mambo yote yanayoizunguka jamii.

Contact us

+255 657 739713
Whatsapp/call and sms

Email
Tibazetutz@gmail.com

Watembeleaji

Search

Jumapili, 13 Mei 2018

leo tujifunze maana ya mistari iliyopo kiganjani kwako



Angalia kwa umakini sana utaona mistari mingi mingi na baadhi ina herufi M au umbo maalum kama pembetatu pembe mraba umbo la X viduaraduara n.k. 

ipo mingi mno karibia maumbo 99 leo tutaangalia baadhi ya maumbo na faida zake kwa uchache

(1)Umbo la pembetatu/pembenne katika kiganja chako ikiwa unalo umbo hilo
Basi wewe ni mtu mwenye kupata fursa na nafasi mbalimbali ambazo zina sura ya mafanikio na hata watu wamekuwa wakikuona to fanti na unavyojielezea na wengi hawaamini unachokiongea wanaamini tofauti na unachokiongea (ukilia shida watu wanaona kama utani na kulichukulia kama masihara fulani wakati muonekano wako ni mtu mwenye pesa mtu mwenye nyota mtu mwenye bahati kubwa mtu mzito mzito mtu wawatu) mara nyingi watu wenye alama hizi ni watu wenye bahati za hapa na pale na mara nyingi hata wapatwe na matatizo vipi faraja hutokea tu pasipokutegemea na mwisho wa siku matatizo yao huisha kimaajab

Ni watu wenye bahati ndogo ndogo na kubwa zisizodumu ( bahati sio lazima kuwa tajiri kuna bahati nyingi tu ajali inatokea wanaumia/kufa wote ila wewe utabaki na huumii ng'o bahati hiyo, mmesoma watu 60 darasa moja mmefaulu wengi ila wote mliosoma pamoja wanahali ngumu zaidi wewe upo kwenye nafas nzuri hiyo nayo bahati, marafiki zako wote wanateseka kimahusiano ila wewe unaogelea furaha ya ndoa na mahusiano bahati hiyo wenzako 10,000 ni kama 100,000 kwako ni kama 1,000 bahati hiyo ila ukiwa na mwili msafi au nyota iliyopo katika uasilia wake hakika kama una alama hizo utajiona ni mwenye bahati kubwa kwani pesa haitakusumbua kama inavyowasumbua wengine (wewe unaweza kusumbuliwa kimahusiano tu au shida za uzazi n.k.) sio pesa

Pia mara nyingi wenye alama hizi huwa ni watu ambao pesa mbele(yani wanapenda pesa mno kupindukia na wapo tayari kwa lolote juu ya pesa ila watu hawa huugua au kuuguliwa kila mara na aidha mke/mume au wazazi au wanao na hii huwapa tabu baadhi yao

Ikiwa una alama hizi na una hali ya ngumu mno kimahusiano au kimaisha na kiuchumi utalazimika kufika kwenye ofisi yetu Ctukupatie mafuta na unga maalum wa kukuvutia bahati zako zilizopotea kuvurugika au kuchukuliwa kwani pia yupo mtu ambae akikiona kiganja chako tu anauwezo wakukomba au kuchukua kila kizuri ukichonacho na kukuacha ukiwa mwenye kukata tamaa na hii ndo maana baadhi ya watu ukiwapa mkono hawapokei wote anakupa kidogo na hakubali umshike sana kama ilivyo kwa wengine ukimpa mkono baadhi kama umempa lambalamba hauachii mpaka uutoe kwa nguvu jihadharini sana na hilo 

Kadhalika mwingine kwa kuuona tu anajua huyu maisha yake yana uwezo wakumiliki milioni 250 sasa hapa inabidi nipange bajeti kupitia mwili wake atapanga milion 100 na jenga kitu flan flan 100 nafungua biashara ya kitu flan flan 40 najenga kanyumba kabei nafuu tu alafu hiyo 10 ndo yake namuachia tu sasa hiyo 10 ni yako lakini kuipata kwake ni hivi
 utapata hela laki moja leo kesho jioni unalia shida hela imeisha ulichokinunua hakuna hapo utaenda hali hiyo weeeeee mpaka itafikia hatua hela unayoipata inatosha kula tu na saa nyingine hiyo ya kula mtihani ndugu zangu tujitahidi kuwa wa siri na maisha yetu hii itatusaidia mno na kitu kingine tujiepushe na kuishi karibu na maadui tunao wafahamu dhahiri hii itakusaidia kusogea hata kimaendeleo na kimaisha pia

Nitakapotulia tena nitawapatia faida au siri za alama ya M na mazuri yake na uroda au utamu wake


Wale mnaohitaji huduma zangu mnaweza kuwasiliana na mimi moja kwa moja kupitia 
0657739713
0764995259 whatsapp