Tibazetu Afrika

Blog hii inahusu tiba za asili juu ya magonjwa mbalimbali ya kimwili na kiroho.Habari,burudani na mambo yote yanayoizunguka jamii.

Contact us

+255 657 739713
Whatsapp/call and sms

Email
Tibazetutz@gmail.com

Watembeleaji

Search

Jumatatu, 28 Agosti 2017

Je unasumbuliwa na ndoto mbaya za kukimbizwa,kulawitiwa,kuporomoka au kuanguka sehemu ndefu au katika daraja?

Suluhisho la tatizo lako hili hapa

Chukua ubani mushtaka unapatikana katika maduka ya dawa za asili ina rangi ya kijivu kuelekea weupe

Utaitwanga vyema iwe unga kisha utaimwagia kitandani hakika hutoota ndoto mbaya hata kama za mapenzi na ulawiti zitakwisha

Hatari kubwa

Ndugu zangu ndoto ni matukio tu yanaweza kuwa yajayo au yaliyopita au ambayo hayatotokea daima ila kuna njozi nyingine huwa ni vitendo na sio ndoto mfano ukiota unalawitiwa au kuingiliwa kinyume na maumbile huwa ndoto hii nikweli na sio nzuri hata kidogo huwa ni wachawi huamua kukufanyia udhalili huu na hii huwafanyia hadi wake za watu na huwaingilia wakidhani wanaingiliwa na waume zao kumbe wachawi na hii hupelekea mkeo kuumwa tumbo sana chini ya kitovu,kuangusha mimba,au kuyeyuka kwa mimba kiukweli ndoto hizi sio nzuri cha msingi tumia tiba hii ya Ubani mushtak uone ajabu

Pia unaweza kujipatia mafuta yetu  yenye nguvu kubwa mno kama kufungua vifungo kuongeza mvuto biashara kinga na kung'arisha au kupandisha nyota.

Karibuni
0653 532036 whatsapp
0764 995259
0621393353
tibazetutz@gmail.com