Tibazetu Afrika

Blog hii inahusu tiba za asili juu ya magonjwa mbalimbali ya kimwili na kiroho.Habari,burudani na mambo yote yanayoizunguka jamii.

Contact us

+255 657 739713
Whatsapp/call and sms

Email
Tibazetutz@gmail.com

Watembeleaji

Search

Jumamosi, 10 Machi 2018

Dawa ya kusafisha mwili/ kutoa nuksi na kukufanya upendwe na kila mtu hata anayekuchukia

Habari za leo


Chukua mjafari wa unga
Hina ya unga
Magadi ya kupikia mlenda
Machicha ya Nazi yasiyokamuliwa(kuna Nazi kisha changanya na Dawa hizo)

Kisha kamulia ndimu mpaka uone Dawa yako imekuwa uji uji au unaweza usitumie ndimu chukua marashi rose korogea mpaka uone Dawa imekuwa ujiuji

Dawa hii inatumika usku tu

Chukua kitambaa cheupe

Kitandike chini ilihali upo uchi

Chukua Dawa yako jisugue na ile Dawa kama unajiscrub jisugue mwili mzima uchafu ule uangukie pale kwenye kitambaa

Ukimaliza uchafu ukusanye vizuri kisha chukua unga wa sembe changanya na ule uchafu kawatupie kuku wale(lengo LA kuku kula ni I'll usije kuokotwa maana ukiokotwa uchafu huo unaweza kutumika vibaya na wewe ukaugua sana au kufa kabisa

Utafanya zoezi hili kwa muda wa wiki nzima utaona ajabu utakumbukwa na walokusahau utathaminiwa utaonekana utavutia na utapendwa(kama unajini mchafu itakuwa kinyume chake)

Mjafari unapatikana maduka ya Dawa za asili ni mchungu una rangi kama njano iliyokolea kuelekea kahawia

Nazi inapatikana magengeni au sokoni

Unga sembe madukani

Kitambaa kwa funding cherehani

Kuku wapo mitaani
Magadi madukani

Imebidi niandike hivyo maana kuna mtu ataniuliza nazi ndo nini? Inapatikana wapi? Kuku wasipokula je?

Kuku wasipokula adui yako ataviokota na kwenda kuvifanyia kazi zingine.

wasiliana nasi kwa tiba na ushauri
0657739713
au whatsapp 0764995259