Tibazetu Afrika

Blog hii inahusu tiba za asili juu ya magonjwa mbalimbali ya kimwili na kiroho.Habari,burudani na mambo yote yanayoizunguka jamii.

Contact us

+255 657 739713
Whatsapp/call and sms

Email
Tibazetutz@gmail.com

Watembeleaji

Search

Alhamisi, 9 Februari 2017

JE KUNA JAMBO LINAKUSUMBUA NA UNAHITAJI KULISAHAU KABISA?

                                                    Kombe la kukusahaulisha

Chukuwa kombe hilo uandike kwenye Sahani nyeupe kwa kutumia zafarani hapo kwenye jina utaandika jina la unayemtaka kumsahau kisha utapangusa hiyo sahani nyeupe iliyoandikwa kombe na kumpa utakunywa kwa siku 3 asubuhi mchana na usiku uandike siku ya jumapili saa 1 asubuhi aanze kutumia siku ya jumatatu saa 1 asubuhi.au unaweza kumuandikia kombe la sahau siku ya Alkhamisi saa 1 asubuhi kombe kisha akanywa siku ya ijumaa saa 1  Na unaweza kuandika mkononi ukaramba kwa ulimi wako.

 ili kombe liwe na nguvu zaidi andika kombe kwa zafarani na uichanganye na miski na marashi safi humo kwenye zafarani.
0653 532036 whatsapp
0764 995259