Tibazetu Afrika

Blog hii inahusu tiba za asili juu ya magonjwa mbalimbali ya kimwili na kiroho.Habari,burudani na mambo yote yanayoizunguka jamii.

Contact us

+255 657 739713
Whatsapp/call and sms

Email
Tibazetutz@gmail.com

Watembeleaji

Search

Jumanne, 7 Februari 2017

🌴TIBA KWA MTOTO KUCHELEWA KUZUNGUMZA🌴



Tumia mojawapo kati ya hizii ---------~~~~
     🌹 TIBA No.1🌹
         🍃MAHITAJI🍃
👉 Udil-karaha
👉 Lozi tunda
👉 Sukari ya mawe
          Hakikisha dawa zote hizo ni za unga na uzichanganye kwa ujazo sawa .
         Chukua kijiko cha chai cha dawa hiyo changanya na kijiko kikubwa cha asali kisha ale ,  fanya hivyo kwa muda wa siku 30.

          🌷TIBA No.2🌷
🌺Msugulie ZAATARI  kwenye ulimi mpaka atoe mate kutwa mara mbili siku 14.

           🌲TIBA No.3🌲
🌺Changanya AKIR-KARH na siki kisha chemsha :;
    Asukutulie kutwa mara mbili siku 14 ;,
     Hii ni nzuri hata kama mtoto ulimi umelegea utakaza.