Tibazetu Afrika

Blog hii inahusu tiba za asili juu ya magonjwa mbalimbali ya kimwili na kiroho.Habari,burudani na mambo yote yanayoizunguka jamii.

Contact us

+255 657 739713
Whatsapp/call and sms

Email
Tibazetutz@gmail.com

Watembeleaji

Search

Alhamisi, 28 Aprili 2016

TIBA KWA MTU ALIYEVAMIWA NA SHETANI,AKAMUANGUSHA NA KUMPINDISHA MDOMO

hii hali huwatokea watu wengi sana! 
tibazetu.blogspot.com



hii ni tofauti na stroke kwani husababishwa na jini na kama mhusika atapata huduma ya haraka anarudi kwenye hali yake kama mwanzo na hata akipelekwa hospital huwa haonekani kuwa na tatizo lolote.

Kuna baadhi ya majini ni washenzi hawa ndiyo huitwa mashetani,miongoni mwao kuna mashetani ambayo hupenda kumkumba mtu na kumsababishia kukakamaa viungo ghafla na mdomo kwenda upande,na wakati mwingine hata kusababisha kifo.
tibazetu.blogspot.com mashetani haya mara nyingi humkumba mtu akiwa chooni,mara nyingi kumekuwa na visa vya watu kuanguka chooni na kukutwa wamekakamaa miili au mdomo kuwa upande mmoja ingawa hata sehemu zingine tofauti na mazingira ya chooni pia huweza kumtokea na kumdhuru.

mtu huyu anapokuwa katika sehemu hiyo ya chooni ghafla humtokea hali ambayo sio ya kawaida kwani ataanza kuhisi kizunguzungu na muda huohuo giza kubwa hutanda mbele ya macho yake na kujikuta hawezi kuhimili uzito wake na hatimaye huanguka kwa kishindo chooni na wengine huweza kupiga ukelele mmoja mkubwa dakika chache kabla ya kuanguka.

ikiwa mtu amekutwa na shida hiyo ghafla,na wewe ukiwa upo katika mazingira hayo mfanyie dawa hii haraka kwani itamsaidia kuondosha athari za jini huyo na baada ya muda mfupi atazinduka na kurudi katika hali yake ya kuwa na fahamu
tibazetu.blogspot.com
VIFAA
majani ya mpapai
maji yanayotembea(maji ya mfereji,mto,bahari n.k)

MAANDALIZI
Yatwange majani hayo ya mpapai mpaka yalainike vizuri
Chukua hayo majani na uchanganye na hayo maji yanayotembea
kisha uchuje kwa kutumia kitambaa au chujio lolote

chukua maji yaliyopatikana baada ya kuchuja hiyo dawa na uyaweke kwenye kiganja chako cha mkono wa kulia kisha umpige nayo kwa nguvu  maji hayo katika mdomo wake mara tatu,

tibazetu.blogspot.com atakapozinduka mpatie udi karaha awe anatafuna mara kwa mara na kutema,huu utamsaidia kumfanya aweze kuzungumza kwa haraka kwani wengi hushindwa kabisa kuongea kutokana na hali hiyo.

+255 653 532036 whatsapp