Tibazetu Afrika

Blog hii inahusu tiba za asili juu ya magonjwa mbalimbali ya kimwili na kiroho.Habari,burudani na mambo yote yanayoizunguka jamii.

Contact us

+255 657 739713
Whatsapp/call and sms

Email
Tibazetutz@gmail.com

Watembeleaji

Search

Jumapili, 29 Aprili 2018

kama unataka kujua kuhusu haya

j1 ukitaka kuota vitu unavyofanyiwa vibaya na watu wabaya ukihitaji kuwajua 

Chukua sukari mawe vidonge 7 mumunya kama pipi na umeze maji yake 

Kisha chukua punje zingine 6 ziloweke kwenye glasi yenye maji kwa muda wa lisaa limoja au mawili kisha chukua jipakae mwili mzima huku unanuia (ewe mola wangu nionyeshe au nidhihirishie katika yale nisiyoyajua) kisha lala utafanya hivi siku 4 hautakaa sana utaletewa picha kama video juu ya unachofanyiwa wewe au uliyekusudia mambo yake 

Ukifanya hivi uhakikishe unalala ukiwa msafi na usilale uchi ukipigwa mabao mi sipo nipo 

2 Ukitaka kumkamata mwizi kusanya uchafu wote wa nje ya nyumba yako uchanganye na kisamvu na mdudu aitwaye biringishamavi aliyekufa mwenyewe na mavi yake unga wa mringaringa kisha kusudia huko alipo kama kaiba kuku basi awikie tumboni kama simu iitie tumboni kama hela basi asikie chenchi tumboni n.k. kisha ukimaliza kunuia vifunge pamoja kavining'inize panapowashwa moto kila siku hii ukimuonea mtu inakurudia na ukifanya vibaya vibaya unakufa au inaua 

3 ukitaka kuwa na mvuto bahati kupendwa na kukubalika na watu au mambo yako yang'are kama zamani basi usisite kuwasiliana nami

Chukua dawa iitwayo ubani mweupe ubani dhukra ubani mushtaka na mjafari changanya na uchemshe na maji ya marashi kisha tumia kuogea usiku na asubuhi kwa siku 21 tu utaona mabadiliko makubwa kikubwa usiwe na shetani mwilini mwako dawa hii ni mujaraabu kwa usafi wa nyota.

4 Ikiwa afya yako kila mara unaugua basi kata kachumbari na uitumie kila siku asubuhi mchana na jioni kwa siku nne tu maradhi yako yatapotea i