Tibazetu Afrika

Blog hii inahusu tiba za asili juu ya magonjwa mbalimbali ya kimwili na kiroho.Habari,burudani na mambo yote yanayoizunguka jamii.

Contact us

+255 657 739713
Whatsapp/call and sms

Email
Tibazetutz@gmail.com

Watembeleaji

Search

Jumapili, 25 Septemba 2016

KUMFUNGA MUMEO AU MKEO ASITEMBEE NA MCHEPUKO MWINGINE

Hii ni kumfunga uume wake mumeo au uke wake mkeo
anapokutana na mchepuko chumbani ili wafanye yale mambo ya kijitu kizima,uchi unapotea(namaanisha unafichika hauonekani)panakuwa flat)kwa hiyo kama ni mume atakosa pa kuingiza maana mke atakuwa kafungwa au kama ni mume ndiye aliyefungwa mke atamuona mchepuko wake hana dushelele!!sipati picha hapo ndani itakuwaje
VIFAA
~Udi nadi
~ubani mashtaka
~uume wa mbwa mweusi asiye na jeraha lolote
~kiberiti kipya
~karatasi nyeupe
~zafarani nyekundu
~mnamata(kama mibamiba ukipita inakamata kwenye nguo)


ponda udi nadi na ubani changanya na mnamata

chukua karatasi andika jina la mke/mpenzi/mchumba na jina la mamake kw kutumia zafarani nyekundu

weka hizo dawa hapo kwenye karatasi ukichanganya na uume huo wa mbwa mweusi,

kisha ichome hiyo karatasi kwa kuwashia na kiberiti kipya wakati inaungua tulia huku unaitazama na kuvuta taswira kama unamuona mpenzi wako na huku unatia nia yamkute yanayokusudiwa kama atachepuka na mtu mwingine.

zoa majivu yafunge kwenye kitambaa cheusi katupe kwenye maji yanayotembea.

usisahau kuleta mrejesho hapahapa kwenye comment.

ukitaka kuachana nae,ni vyema kumuweka huru
utafanya kama hvyo hapo juu kasoro uume wa mbwa hutoweka kisha hyo dawa utajigusisha kwenye dhakar au uke na mtafanya mapenz atakuwa huru


kama utapenda unaweza kutengeneza kama utashindwa dawa zilizotengenezwa tayari zipo wasiliana nasi
0653 532036 watsap imo na viber
0764 995259