Tibazetu Afrika

Blog hii inahusu tiba za asili juu ya magonjwa mbalimbali ya kimwili na kiroho.Habari,burudani na mambo yote yanayoizunguka jamii.

Contact us

+255 657 739713
Whatsapp/call and sms

Email
Tibazetutz@gmail.com

Watembeleaji

Search

Ijumaa, 8 Septemba 2017

Majini wawili wanaotumika sana kuvuta wateja kwenye mahoteli ama maduka makubwa

Leo tunawazungumzia majini hawa
DAHANASHIYY,na MAHAQALIYY

hawa ni majini wanaoishi baharini na ni majini wenye ushawishi na nguvu kubwa ya kuwavuta wateja kwa wingi katika biashara za dukani hotelini nk.

majini hawa hupatikana kiurahisi sana na hawana mashariti magumu pindi unapokuwa nao

 jinsi ya kuwapata majini hawa
*tafuta kitambaa kile kilichobaki
katika ukataji wa sanda msibani hata kama ni kidogo

basi utakimwagia hicho kitambaa  mafuta ya bint suudan na alhuud na miski na gift of zanzibar

Baada ya hapo utaenda nacho mpaka njia panda,njia ambayo watu wanapita hapo

utachimba shimo
Kisha utakizika kile kitambaa na washa mshumaa na udi sema makusudio yako

Viache hapo kwa siku sita na ikifika siku ya saba kachukue kile kitambaa na utafute chupa ya kioo au gilasi
uende navyo mpaka Baharini na ukifika unaloweka kile kitambaa kwenye maji na ukiweke ndani ya chupa au gilasi ambayo umechota na kuweka maji hayo ya bahari

Iwe siku ya alhamis

Kisha soma hayo maneno (kama huyawezi unaweza kutafuta mtu anayejua kiarabu akufundishe ama nipigie) (اتوقل ايمعشر الجن
اقسمت عليكم يادهنش وانت يامهقي الخضرو في هذاالمكن واقضوا حجات التهيج الناس كما قل الله تعال واذان فالناس بلحخ ياتوك رجولا وعلا كل ضمل ياتين من كل فج عميق،وان كان اخضرو فيارني هي هي هي هي هي برك الله قيكم واليكم

 atakuja jini katika umbo la  mtoto utaongea naye lugha yako na  atakwambia nini cha kufanya.

Kwa maswali,Tiba na ushauri
Wasiliana nasi
0653532036 whatsp
0621393353
0764995259