
kama unataka umuhamishe mtu usiyempenda kwa sababu moja ama nyingine,au hata kwa sababu yeyote ile yenye faida kwako kuna njia hii ambayo pia hupatikana kwenye vitabu vya kichawi vya kizungu.
~chota unyayo wake alipokanayaga
~changanya na pilipili nyekundu zilizosagwa
~funga kwenye kitambaa cheupe kilichobaki baada ya kumaliza kushona sanda ya maiti
~nuia unapotaka mtu huyo aende mfano{nataka fulani bin fulani ahame kwenye mji na aende mji fulani wala asitamani kurudi alipotoka}
~katupe kwenye mkondo wa maji yanayotembea baada ya giza kuingia
~ukishatupa usigeuke nyuma nenda zako,asubuhi huyu mtu utamuona akikusanya kilicho chake na kutokomea
