Tibazetu Afrika

Blog hii inahusu tiba za asili juu ya magonjwa mbalimbali ya kimwili na kiroho.Habari,burudani na mambo yote yanayoizunguka jamii.

Contact us

+255 657 739713
Whatsapp/call and sms

Email
Tibazetutz@gmail.com

Watembeleaji

Search

Jumatatu, 28 Novemba 2016

KUMUHAMISHA MTU AENDE UNAPOPATAKA WEWE

kama unataka umuhamishe mtu usiyempenda kwa sababu moja ama nyingine,au hata kwa sababu yeyote ile yenye faida kwako kuna njia hii ambayo pia hupatikana kwenye vitabu vya kichawi vya kizungu. ~chota unyayo wake alipokanayaga ~changanya na pilipili nyekundu zilizosagwa ~funga kwenye kitambaa cheupe kilichobaki baada ya kumaliza kushona sanda ya maiti ~nuia unapotaka mtu huyo aende mfano{nataka fulani bin fulani ahame kwenye mji na aende mji fulani wala asitamani kurudi alipotoka} ~katupe kwenye mkondo wa maji yanayotembea baada ya giza kuingia ~ukishatupa usigeuke nyuma nenda zako,asubuhi huyu mtu utamuona akikusanya kilicho chake na kutokomea