Tibazetu Afrika

Blog hii inahusu tiba za asili juu ya magonjwa mbalimbali ya kimwili na kiroho.Habari,burudani na mambo yote yanayoizunguka jamii.

Contact us

+255 657 739713
Whatsapp/call and sms

Email
Tibazetutz@gmail.com

Watembeleaji

Search

Jumapili, 20 Novemba 2016

MAJINI 10 WAASI NA KAZI ZAO



Mfalme Suleiman alikuwa Mfalme wa binadamu na Majini yote. Wakati wa enzi yake kuna baadhi ya Majini waliokuwa wakikataa kutii amri zake hivyo alikuwa akiwaadhibu..
Kuna Majini 72 ambao waliasi kabisa na Mfalme Suleiman aliamua kuwafunga kabisa ili wasiwepo kabisa miongoni mwa binadamu. Majini hao aliwakamata na kuwafungia katika Gudulia la Shaba na kuwatumbukiza katika Ziwa.
Karne nyingi baada ya kuondoka Mfalme Suleiman watu wa Babiloni waliokuwa wakitafuta hazina waliliona Gudulia hilo na wakalivunja wakidhani kuna mali hivyo kuwapa uhuru majini hao ambao walirudi katika sehemu zao walizokuwa zamani.
MAJINI 10 WAASI NA KAZI ZAO
-
1. BAAL: Yeye ni Mfalme anayetawala Mashariki ana uwezo wa kukufanya usionekane na kukupa busara. Akikutokea huwa na kichwa cha binadamu, Chura au Paka na wakati mwingine huweza kukutokea kwa sura zote tatu kwa pamoja. Huzungumza kwa sauti nzito kama farasi.

2. AGARES. Yeye ni Mtawala anaetawala Mashariki, hujitokeza kama mtu Mzee aliyekaa juu ya Mamba akiwa ameshika fimbo kwenye mkono wake. Yeye anauwezo wakuwafanya wanaokimbia wasimame, kuwarudisha wale waliokimbia, anafundisha lugha zote, anaharibu sifa zote za kidini na husababisha mitetemeko ya ardhi.


3. VASSAGO. Yeye ni mtoto wa Mfalme mwenye nguvu na mwenye asilia ya Jini AGARESS. Ambaye anauwezo wa kukuambia habari zako zilizopita, za sasa na zijazo na hugundua kitu kilichopotea au kufichwa. Yeye anatabia nzuri.

4. GAMIGIN. (GAMYGYN). Yeye ni mwanajeshi mzalendo, akikutokea huwa katika umbo la farasi mdogo au punda baadae hugeuka katika umbo la binadamu. Anazungumza kwa sauti nzito kama farasi na ni mtaalamu wa kufundisha sayansi ya maendeleo na mabadiliko na hutoa habari ya roho ambazo zimekufa kwa dhambi.

5. MARBAS. Yeye ni Rais, akikutokea huwa kama Simba mwenye nguvu na baadae hubadilika katika umbo la binadamu. Yeye hutoa majibu ya sahihi na kweli kuhusu yote yaliyofichika. Husababisha na kuponya maradhi na huongeza kipaji katika ufundi wa mashine na anabadilisha watu katika maumbo tofauti tofauti.

6. VALEFOR. Yeye ni mtawala mwenye nguvu na hutokea kama Simba mwenye vichwa vingi. Huwaongoza wale anaowafahamu katika kufanya wizi na ujambazi.

7. AMON. Yeye ni mwanajeshi mzalendo na mwenye nguvu, hutokea kama mbwa mwitu mwenye kichwa cha nyoka na akitema ndimi za moto na huweza kubadilika katika umbo la binadamu pale anapoamrishwa na mwenye kumwita lakini huwa na meno kama ya mbwa. Ana uwezo wa kutoa habari zilizopita na za baadae, huleta mapenzi na kupatanisha marafiki na maadui.
Image result for wolf head snake body
8. BARBATOS. Yeye ni Lodi (Lord) na Mtawala, hutokea wakati jua linapokuwa kwenye Nyota ya Mshale na huja akiwa amezungukwa na wafalme wanne na askari watatu. Ana uwezo wa kutoa ushauri katika masuala yote ya sayansi, hugundua hazina zilizofichwa kwa uchawi au mazingaombwe, anajua yaliyopita na yajayo. Hupatanisha marafiki na wale wenye madaraka.
Image result for KING SURROUNDING WITH ARMY
9. PAIMON. Yeye ni mfalme mkuu mwenye utiifu kwa LUCIFER, hutokea kama mtu aliyevikwa taji amekaa juu ya ngamia mwenye nundu moja, akiwa amezungukwa na wanamuziki. Anazungumza kwa sauti ya kuunguruma. Anafundisha sanaa, sayansi na siri. Hutoa na kudhibitisha heshima na kuwafanya watu wawe ni wenye kutumika kwa matakwa ya wachawi na hukupa umashuhuri.

                                                                           Image result for KING ON THE CAMEL      
10. BUER. Yeye ni Rais ambaye hutokea wakati jua linapokuwa kwenye Nyota ya Mshale na hufundisha falsafa, mantiki na maadili ya miti shamba na hutibu magonjwa yote na hukupa umashuhuri.Image result for SUN
JINSI YA KUWAITA MAJINI HAO NA KUWATUMIA  
0653 532036 whatsAP