Tibazetu Afrika

Blog hii inahusu tiba za asili juu ya magonjwa mbalimbali ya kimwili na kiroho.Habari,burudani na mambo yote yanayoizunguka jamii.

Contact us

+255 657 739713
Whatsapp/call and sms

Email
Tibazetutz@gmail.com

Watembeleaji

Search

Jumanne, 15 Novemba 2016

KUVIMBA KWA MIRIJA YA UZAZI KWA MWANAMKE NA TIBA YAKE KWA KUTUMIA MLONGE




Mfumo wa uzazi wa mwanamke una matatizo mengi kama kuvimba kwa mirija ya uzazi.

Chanzo cha uvimbe
👉🏽Magonjwa ya zinaa kama gonorea nk.
👉🏽Fungus pia hupelekea kuvimba kwa mirija ya uzazi.
👉🏽Athari za bacteria mbalimbali pia hupelekea kuvimba kwa mirija ya uzazi

🔬DALILI ZA UVIMBE KATIKA MIRIJA YA UZAZI
1. Maumivu chini ya kitovu katika mirija ya uzazi
2. Kutokwa na  uchafu ukeni wenye rangi ya njano,brauni au kahawia
3. Maumivu ya kiuno na mgongo
4. Mwili kuhisi uchovu kupita kiasi
5. Hedhi kuto ereweka
6. Kupata maumivu wakati wa tendo la ndoa nk.

🌿TIBA YAKE 🌿
MLONGE hutumika kutibu uvimbe kwa sababu hupambana na uvimbe uvimbe mwilini.

JINSI YA KUANDAA MLONGE
Chukua majani👉🏽🍃 ya Mlonge kisha ya kaushe sehemu ambayo hakuna mwanga wa jua (Ndani) yaki kauka saga upate unga wake.
☕MATUMIZI ☕
Tumia kijiko kidogo cha chai kunywea kwenye maji ya moto,Uji au supu kikombe☕ kimoja Asubuhi,Mchana na Jioni kwa muda wa siku 9.

Nb. Hutibu
A) Kuziba kwa kuta za uzazi
B)Kuto kwenda haja kubwa
C)BawAsiri nk
🌿🌿🌿🌿🌿🌿🌿