Tibazetu Afrika

Blog hii inahusu tiba za asili juu ya magonjwa mbalimbali ya kimwili na kiroho.Habari,burudani na mambo yote yanayoizunguka jamii.

Contact us

+255 657 739713
Whatsapp/call and sms

Email
Tibazetutz@gmail.com

Watembeleaji

Search

Alhamisi, 18 Februari 2016

KUONDOA MADOA,CHUNUSI,MAPELE NA KUFANYA NGOZI YAKO IWE SOFT

HABARI ZA JIONI WAPENDWA


 ngozi ni kiungo muhimu kwa binadamu hivyo tunatakiwa kuwa waangalifu kuitunza ili kuepusha isidhurike na kitu kingine chochote.Ngozi hupokea magojwa haraka ndio maana tunaambiwa ni vizuri kuitunza ili isipoteza uasilia
wake.

 Watu wengwanathamini mno ngozi ya usoni tofauti na sehemu nyingine katika mwili,kwani ngozi ya uso ni muhimu na vilevile ni rahisi kushika vigonjwa vidogovidogo ambavyo vinaharibu ngozi yako. Hakuna mtu asiyependa ngozi ya sura yake haijarishi kama sura yake ni mbaya au nzuri lakini ilimradi tu  ngozi yake iwe nzuri,safi na laini.
watu hutumia gharama nyingi katika kununua vipodozi mbalimbali vyenye madawa ya kemikali ili waweze kutengeneza ngozi zao ziwe katika kiwango kitakachomridhisha lakini vipodozi hivi hugeuka sumu na kujikuta wengine wanaharibu kabisa ngozi na afya zao bila kukusudia.
Tunapaswa kujua kuwa kuna vitu vya asili ambavyo vina uwezo mkubwa katika kuiweka ngozi yako ikawa katika muonekano mzuri,ngozi safi,laini na yenye afya njema,leo ntazungumzia vitu viwili

NO.1

~CHUKUA KOKWA LA PARACHICHI LITWANGE UPATE
 UNGA WAKE


~UANIKE UNGA HUO UKAUKE VIZURI


~WEKA MAJI KIDOGO UPATE ROJOROJO


~JIPAKE USONI NA UKAE KWA SAA1 UNAWEZA 
KUJIOSHA

FANYA KWA SIKU7 HADI 11 MFULULIZO

UNAWEZA PIA KUJIPAKA SEHEMU ZINGINE ZA MWILI
 MBALI NA USONI


NO.2

~CHUKUA UNGA WA SHABU,LIWA NA MANJANO


~CHANGANYA PAMOJA WEKA MAJI KIDOGO LOWE 
ROJOROJO


~JIPAKE KWA UTARATIBU KAMA WA HAPO JUU
 KWENYE KOKWA LA PARACHICHI

UNAWEZA KUJIPAKA PIA SEHEMU ZINGINE ZA MWILI

UTAKUWA NA NGOZI NZURI NA LAINI KULIKO 
UKITUMIA MADAWA YA KEMIKALI