Tibazetu Afrika

Blog hii inahusu tiba za asili juu ya magonjwa mbalimbali ya kimwili na kiroho.Habari,burudani na mambo yote yanayoizunguka jamii.

Contact us

+255 657 739713
Whatsapp/call and sms

Email
Tibazetutz@gmail.com

Watembeleaji

Search

Jumatano, 18 Januari 2017

MTAMBUE JINI ANAYEJIITA SULEIMAN BIN DAUD NA RANGI YA MAVAZI YAKE


SULEIMANI BIN DAUDI

Huyu ndio baba wa majini ni chimbuko la majini wa enzi za nabii ama mfalme suleimani, jini huyu amechukua jina hili la nabii wa Mungu kutokana na kuwepo kwake enzi za mfalme huyo.

 Suleimani bin daudi pia ni jini ambaye anapenda Sana ibada na ndio baba wa majini aina ya maruhani wote duniani kwa sasa hiyo ndio heshima yake.na cheo chake

MAVAZI~Anavaa vazi lenye rangi njano, zambarau ama pink.

KAZI YAKE
Kazi zake kubwa ni kumsaidia mtu kwa kumlinda ama kumpa uganga

Huyu jini ni mfalme