Tibazetu Afrika

Blog hii inahusu tiba za asili juu ya magonjwa mbalimbali ya kimwili na kiroho.Habari,burudani na mambo yote yanayoizunguka jamii.

Contact us

+255 657 739713
Whatsapp/call and sms

Email
Tibazetutz@gmail.com

Watembeleaji

Search

Jumatatu, 23 Januari 2017

NJIA NYEPESI YA KUMUADHIBU MCHAWI ANAYEKUJA NYUMBANI KWAKO KUKUROGA

-Nunua mafuta ya simba

-UDI Wa kijiti 4

-Unga Wa baruti

-Magome ya mkungu yaliyokauka

Changanya mafuta ya simba,baruti,na unga Wa magome ya mkungu

Pakaa Dawa hyo kwenye UDI 4 za kijiti

Chomeka udi hizo kwenye pembe NNE za Nyumba au chumba

Washa udi hizo ukianzia kushoto
Lala

Atakayekuja siku hiyo utamuota ndotoni na atatenguka kiuno atakapojaribu kuingia ndani

ONYO
Kwa mwenye majini yanayopanda asifanye akiwa peke yke ndani